iqna

IQNA

siku ya msikiti
Jinai za Israel
AL-QUDS (IQNA) - Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imeisitiza umuhimu wa kuhifadhi hadhi ya kihistoria na kisheria ya maeneo matakatifu ya Kiislamu na Kikristo huko al-Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3477482    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/22

Msikiti wa Al Aqsa
TEHRAN (IQNA)- Leo 21 Agosti inatambuliwa kama Siku ya Kimataifa ya Msikiti kwa mnasaba wa kukumbuka tukio chungu la Agosti 21, 1969 wakati Mzayuni Michael Dennis Rohan alipoitekteza moto sehemu ya Msikiti wa Al Aqsa ambao ni kibla cha kwanza cha Waislamu.
Habari ID: 3475658    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/21